Habari Archives - Fahamu Hili
Friday, June 2Maarifa Bila Kikomo
Shadow

Habari

Hatimaye Ghana Yarusha Satelaiti Yake ya Kwanza Kwenda Anga za Juu

Hatimaye Ghana Yarusha Satelaiti Yake ya Kwanza Kwenda Anga za Juu

Habari, Teknolojia
Satelaiti ijulikanayo kama GhanaSat-1, ambayo iliundwa na wanafunzi kutoka katika Chuo Kikuu cha All Nations cha Koforidua, ilirushwa kwenda kwenye mzingo wa dunia kutoka kwenye Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu. Shange na vifijo vya watu takriban 400 wakiwemo wanafunzi na waandisi walikokuwa wakishuhudia tukio hili zilisikika katika mji wa kusini mwa Ghana. Mji huo ndipo lilipofanyika zoezi hilo la urushaji wa satelaiti hiyo. Mawasiliano na chombo hicho yalianza kupokelewa muda mfupi baada ya chombo hicho kurushwa. Maradi huo uligharimu dola za kimarekani 50,000 ulifadhiliwa na shirika la Japan Aerospace Exploration Agency (JAXA). Satelaiti hiyo itatumika katika mambo mabalimbali kama vile kufwatilia ukanda wa pwani wa Ghana, kuchora ramani na kuijengea nchi hiyo uwezo kati...
Utafiti: Karatasi Zinazobandikwa Ukutani Zinaweza Kusababisha Ugonjwa

Utafiti: Karatasi Zinazobandikwa Ukutani Zinaweza Kusababisha Ugonjwa

Afya, Habari
Utafiti umebaini kuwa sumu zinazozalishwa na kuvu(fangus) zinazojizalisha kwenye karatasi za ukutani katika nyumba zetu zinaweza kuharibu hewa na kuiingia mwilini kwa urahisi, na kusababisha "maradhi ya jengo;". Maradhi ya jengo hutumiwa kuelezea hali ambayo wakazi wa jengo wanajihisi madhara makubwa ya afya ambayo yanaonekana kuwa yanahusishwa moja kwa moja na wakati waliotumia katika jengo fulani. "Tulionyesha kwamba sumu ya mycotoxins inaweza kuhamishwa kutoka vifaa vya vilivyo ukutani kwa hewa, katika ya hali ambayo inaweza kukutana na binadamu katika majengo," alisema Jean-Denis Bailly, Profesa katika Shule ya Veterinary School ya Toulouse nchini Ufaransa. "Kwa hiyo, mycotoxins inaweza kuvutwa na binadamu na inapaswa kuchunguzwa kama vigezo vya kupima ubora wa hewa ya nda...
Wanasayansi Wagundua  Rangi inayotumia Jua Kuzalisha Nishati

Wanasayansi Wagundua Rangi inayotumia Jua Kuzalisha Nishati

Habari, Teknolojia
Timu ya wanasayansi nchini Australia imegundua rangi ya sola ambayo inaweza kuzalisha nishati kwa ajili ya matumizi ya majumbani na magari. Timu hiyo iliyoongozwa na Torben Daeneke imesema kuwa inaamini kuwa njia hiyo itatoa nishati nafuu na safi kwa dunia. Nishati kwa ajili ya magari siku za mbeleni Inaweza kufikiriwa kuwa, kuendesha gari kwa nishati itokanayo na rangi ni kichekesho lakini wanayansi hao wamesema inawezekana. Wamesema kwa kuchanganya katalisti yenye rangi nyeupe inayotumika kwenye dawa ya meno, wanasyansi waliweza kutengeneza rangi ambayo ikikutana na jua inabadili maji kuwa hydrojeni ambayo itatumika kuendesha gari. Wamesema changamoto waliyonayo ni namna ya kuhamisha nishati hiyo na kuitumia kwenye gari; pamoja na hili wamesema wameshapata njia kadhaa wanazozifa...