Tafiti Archives - Fahamu Hili
Thursday, April 25Maarifa Bila Kikomo
Shadow

Tag: Tafiti

Utafiti: Karatasi Zinazobandikwa Ukutani Zinaweza Kusababisha Ugonjwa

Utafiti: Karatasi Zinazobandikwa Ukutani Zinaweza Kusababisha Ugonjwa

Afya, Habari
Utafiti umebaini kuwa sumu zinazozalishwa na kuvu(fangus) zinazojizalisha kwenye karatasi za ukutani katika nyumba zetu zinaweza kuharibu hewa na kuiingia mwilini kwa urahisi, na kusababisha "maradhi ya jengo;". Maradhi ya jengo hutumiwa kuelezea hali ambayo wakazi wa jengo wanajihisi madhara makubwa ya afya ambayo yanaonekana kuwa yanahusishwa moja kwa moja na wakati waliotumia katika jengo fulani. "Tulionyesha kwamba sumu ya mycotoxins inaweza kuhamishwa kutoka vifaa vya vilivyo ukutani kwa hewa, katika ya hali ambayo inaweza kukutana na binadamu katika majengo," alisema Jean-Denis Bailly, Profesa katika Shule ya Veterinary School ya Toulouse nchini Ufaransa. "Kwa hiyo, mycotoxins inaweza kuvutwa na binadamu na inapaswa kuchunguzwa kama vigezo vya kupima ubora wa hewa ya nda...
Mafuta ya Nazi Hatari kwa Afya

Mafuta ya Nazi Hatari kwa Afya

Afya
Watafiti wa afya nchini Marekani wamesema matumizi ya mafuta ya nazi si salama kwa afya kama ilivyo kwa nyama ya ng’ombe na siagi. Shirika la Moyo la Marekani (AHA), limeeleza kuwa mafuta yaliyoko kwenye nazi yanaweza kuongeza lehemu (cholesterol) mbaya katika mwili wa binadamu. Kwa mujibu wa AHA, wanadai kuwa kuna mafuta 82% katika nazi. Kuna zaidi ya 63% kwenye siagi, 50% kwenye nyama ya ng’ombe na 39% kwenye nyama ya nguruwe. Wataalamu hao wameongeza kuwa mafuta hayo yanaweza kusababisha lehemu (cholesterol) mbaya katika mwili wa binadamu. Baadhi ya watu hudai kuwa ulaji wa mafuta ya nazi una manufaa kwa afya ya mlaji lakini AHA wamesema madai hayo hayajadhibitishwa. Wamependekeza kuwa, watu wajitahidi kupunguza kiasi cha mafuta yenye lehemu wanayoyatumia kila siku katik...