Biashara Kwenye Mtandao Archives - Fahamu Hili
Thursday, March 28Maarifa Bila Kikomo
Shadow

Tag: Biashara Kwenye Mtandao

Makosa 8 ya Kuepuka Unapofanya Biashara Kwenye Mtandao

Makosa 8 ya Kuepuka Unapofanya Biashara Kwenye Mtandao

Biashara na Uchumi
Kufanya biashara kwenye mtandao ni jambo lenye faida na changamoto zake. Unaweza ukawa na bidhaa nzuri sana, lakini ukumbuke kuwa kila siku kunaanzishwa tovuti za kuuza bidhaa mtandaoni. Haijalishi kuwa wewe ni muuzaji wa bidhaa wa siku nyingi au wa karibuni, ni wazi kuwa utakutana na changamoto kadha wa kadha. Sasa utafanyaje? Hakuna jibu rahisi, bali ni wazi kuwa makosa unayofanya wakati wa kuendesha biashara kwenye mtandao, ndiyo yanayokugharimu wewe na mapato yako. Yafuatayo ni makosa 8 ambayo unatakiwa kufanya juu chini ili kuhakikisha unayaepuka unapofanya biashara kwenye mtandao. 1. Kukosa kitengo cha huduma kwa wateja Ni rahisi mtu kukaa dukani kwake siku nzima ili kuwahudumia wateja; lakini unaona hakuna umuhimu wa kukaa karibu na wateja wake wa kwenye mtandao. Kumbuka ha...